Dernières vidéos
Wavuvi 2500 kutoka kaunti za Pwani waliosomea unahodha wa boti hii leo wamepokezwa vyeti vyao na rais William Ruto. Hii ikiwa njia moja wapo ya kuimarisha sekta ya uvuvi kwa kuwawezesha wavuvi hao kutumia vifaa vya kisasa katika uvuvi wao. Kuhusu ziara ya Pwani ya rais Ruto ambayo pia inajumuisha kupigia debe uteuzi wa mawaziri aliofanya.
#K24Siasa #K24Tv
President William Ruto has issued certificates to 2500 fishermen who have undergone boat management skills at the start of his four-day tour of coastal counties. The move is meant to strengthen the fishing sector by enabling the fishermen to use modern equipment in their fishing activities.
Deputy President Rigathi Gachagua has condemned unmanned leaders who hijacked peaceful Generation Z protests to settle political scores.
#K24Siasa #K24Tv
#K24Siasa #K24Tv
#K24Siasa #K24Tv
#K24Siasa #K24Tv
President William Ruto has promised to reward former Gender and Culture Cabinet Secretary Aisha Jumwa days after firing her from his Cabinet.
The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) on Thursday, July 25, 2024, arrested a former Member of Parliament and his wife in a raid that led to the recovery of assorted items.
Operations return to normalcy in Paris after an Arson attack on the railway system
#K24Siasa #K24Tv
Youths in Kakamega have expressed strong opposition to President William Ruto's recent cabinet appointments, which included leaders affiliated with the Orange Democratic Movement (ODM).
#K24Siasa #K24Tv
Bungoma Gen Z visits EACC over corruption allegations in Bungoma.
#K24Siasa #K24Tv
#K24Siasa #K24Tv
#K24Siasa #K24Tv
Kinara wa Azimio Raila Odinga amevunja kimya chake kuhusu kuteuliwa kwa wanachama wanne wa ODM kuwa mawaziri akisema hakufahamu kilichojiri na wala chama hicho au Azimio hakijajiunga na serikali ya rais william ruto. aidha kinachoibua maswali ni Odinga kuwatakia wanne hao kila heri akitumai watafanya kazi njema kwa serikali ya rais Ruto.Hata hivyo mbunge wa Embakasi mashariki Babu Owino amejitangaza kuwa kiongozi rasmi wa upinzani na kuwasuta wakuu wa ODM kwa kuwasaliti wakenya. mwanahabari wetu wa masuala ya kisiasa ana mengi.