Dernières vidéos

K24 TV
4 heures depuis

Wavuvi 2500 kutoka kaunti za Pwani waliosomea unahodha wa boti hii leo wamepokezwa vyeti vyao na rais William Ruto. Hii ikiwa njia moja wapo ya kuimarisha sekta ya uvuvi kwa kuwawezesha wavuvi hao kutumia vifaa vya kisasa katika uvuvi wao. Kuhusu ziara ya Pwani ya rais Ruto ambayo pia inajumuisha kupigia debe uteuzi wa mawaziri aliofanya.

K24 TV
4 heures depuis

President William Ruto has issued certificates to 2500 fishermen who have undergone boat management skills at the start of his four-day tour of coastal counties. The move is meant to strengthen the fishing sector by enabling the fishermen to use modern equipment in their fishing activities.

K24 TV
8 heures depuis

Deputy President Rigathi Gachagua has condemned unmanned leaders who hijacked peaceful Generation Z protests to settle political scores.

K24 TV
12 heures depuis

President William Ruto has promised to reward former Gender and Culture Cabinet Secretary Aisha Jumwa days after firing her from his Cabinet.

K24 TV
12 heures depuis

The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) on Thursday, July 25, 2024, arrested a former Member of Parliament and his wife in a raid that led to the recovery of assorted items.

K24 TV
12 heures depuis

Operations return to normalcy in Paris after an Arson attack on the railway system

K24 TV
17 heures depuis

Youths in Kakamega have expressed strong opposition to President William Ruto's recent cabinet appointments, which included leaders affiliated with the Orange Democratic Movement (ODM).

K24 TV
17 heures depuis

Bungoma Gen Z visits EACC over corruption allegations in Bungoma.

K24 TV
21 heures depuis

#K24Siasa #K24Tv

K24 TV
21 heures depuis

#K24Siasa #K24Tv

K24 TV
21 heures depuis

#K24Siasa #K24Tv

K24 TV
21 heures depuis

Kinara wa Azimio Raila Odinga amevunja kimya chake kuhusu kuteuliwa kwa wanachama wanne wa ODM kuwa mawaziri akisema hakufahamu kilichojiri na wala chama hicho au Azimio hakijajiunga na serikali ya rais william ruto. aidha kinachoibua maswali ni Odinga kuwatakia wanne hao kila heri akitumai watafanya kazi njema kwa serikali ya rais Ruto.Hata hivyo mbunge wa Embakasi mashariki Babu Owino amejitangaza kuwa kiongozi rasmi wa upinzani na kuwasuta wakuu wa ODM kwa kuwasaliti wakenya. mwanahabari wetu wa masuala ya kisiasa ana mengi.

Montre plus