Afrique
Sous catégorie
Ukitaka kumficha Mwafrika Siri asiijue maisha yake yote, basi iweke Kwemye Kitabu, Nakuibia hii ili Siri hiyo isikupite na thamani yake iwe wazi kwako kwenye #PBCloudsFM tutakuwa na Mwalimu na Msomaji Mwandamizi Wa Vitabu, Yasin Sabur. Pia tutakuwa na Katibu Mtendaji Wa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma ( PPAA), JAMES SANDO. Kaa karibu na Redio ya watu kuanzia Saa 12 Alfajiri.
Ukitaka kumficha Mwafrika Siri asiijue maisha yake yote, basi iweke Kwemye Kitabu, Nakuibia hii ili Siri hiyo isikupite na thamani yake iwe wazi kwako kwenye #PBCloudsFM tutakuwa na Mwalimu na Msomaji Mwandamizi Wa Vitabu, Yasin Sabur. Pia tutakuwa na Katibu Mtendaji Wa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma ( PPAA), JAMES SANDO. Kaa karibu na Redio ya watu kuanzia Saa 12 Alfajiri.
Kuelekea kwenye kilele cha mchakato wa kumsaka mrembo atakayeibeba Kino begani kwenye sekta ya urembo, washindani Miss Kinondoni leo LIVE kwenye #XXLyaCloudsFM ???? #cloudsdigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #xxl
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #LeoTena
S2KIZZY AMNYEA ABBAH PROCESS, 'HANIFIKII KWA LOLOTE', NGOMA MBILI MILLON 100
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #PowerBreakfast
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #PowerBreakfast
BDOZEN & ADAM MCHOMVU WAFUNGUKA KUHAMIA JAHAZI, ''SISI SIO WARITHI WA GARDNER', XXL INAACHWA VIPI?
Ibrahim Jeremiah- Mchambuzi masuala ya Siasa amesema baadhi ya mambo ambayo wanasiasa huzungumza ni kwa ajili ya kuwafurahisha wananchi lakini hayawezekani katika uhalisia. #LiveOnClouds360 #CloudsTvNiMkataba
LIVE: PRODUCER KUBWA S2KIZZY NDANI YA KUBWA KULIKO #XXL LARGE ROOM #cloudsdigital
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #leotena
Urithi wa Jahazi kwa hisani ya Captain G Habash uliosomwa na Mkuu wa Maudhui CMG, @sebamaganga amesema yeye mwenyewe (Captain) alipendekeza @adamchomvu aungane na swahiba wake @bdozen kuliendesha Jahazi ili lifike Pwani. Urithi umeheshimiwa!!! #CaptainWaGemu
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #hiligame
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio ya Clouds Fm katika kipindi cha #PowerBreakfast
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio Mikocheni
#CloudsDigital ipo mbashara kutoka studio Mikocheni
XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO
Baada ya jana kuzuka kwa utata baada ya Tabora kupiga mpira uliozaa utata kwenye mchezo dhidi ya Simba SC , Ufafanuzi wa mpir ahu umetolewa