Bir sonraki

Polisi wanachunguza mauaji ya mama aliyeuawa Kikatili na mwili kutupwa kichakani Mukurweini, Nyeri

27/01/24
K24 TV
İçinde Afrika

Maafisa wa polisi huko Mukurweini kaunti ya Nyeri wameanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mwanamke kutambuliwa kichakani akiwa ameuawa katika njia ya kutatanisha. Kwa mujibu wa familia ya wendazake, Nancy Muthoni aliondoka nyumbani kwenda dukani katika kijiji cha Kiharu lakini hakurejea

Daha fazla göster

 0 Yorumlar sort   Göre sırala


Bir sonraki