Polisi wanachunguza mauaji ya mama aliyeuawa Kikatili na mwili kutupwa kichakani Mukurweini, Nyeri
0
0
27/01/24
İçinde
Afrika
Maafisa wa polisi huko Mukurweini kaunti ya Nyeri wameanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mwanamke kutambuliwa kichakani akiwa ameuawa katika njia ya kutatanisha. Kwa mujibu wa familia ya wendazake, Nancy Muthoni aliondoka nyumbani kwenda dukani katika kijiji cha Kiharu lakini hakurejea
Daha fazla göster
0 Yorumlar
sort Göre sırala