Suivant

Ruto aamrisha wafanyikazi wote wa serikali walio na vyeti ghushi warejeshe fedha na mali walizopata

17/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Rais William Ruto ameamrisha wafanyikazi wote wa serikali walio na vyeti ghushi warejeshe fedha na mali walizopata tangu waajiriwe huku akiwataka wajiuzulu mara moja. Wizara, idara zote za serikali pamoja na asasi zingine za serikali zimetakiwa ziwasilishe mipango ya jinsi ya kuhakikisha ni asilimia 35 ya bajeti pekee inatumika katika kulipa miashahara ya wafanyikazi.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant