Suivant

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mkuu wa majeshi afariki akiwa mamlakani

21/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mkuu wa majeshi amefariki akiwa mamlakani . Marehemu Jenerali Francis Ogolla, aliyesifiwa kama mtu mkarimu na mwanajeshi mwenye tajika alizikwa chini ya saa 72 baada ya kufariki kwakJe katika ajali ya ndege. Mazishi ya mwendazake yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant