Matukio ya Bomas yazungumziwa mazishini

21/04/24
K24 TV
İçinde Afrika

Simulizi kinzani zimeibuka kuhusiana na uwepo wa marehemu Jenerali Francis Ogolla katika ukumbi wa Bomas, wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais wa 2022. Wakati wa mazishi ya Jenerali Ogolla, waziri wa ulinzi Aden Duale alisisitiza kujitolea kwa Jenerali Ogolla katika kazi bila kuyumba, akisisitiza kwamba uwepo wake Bomas ulikuwa ukizingatia maagizo kutoka kwa wakuu wake

Daha fazla göster

 0 Yorumlar sort   Göre sırala