次に

Naibu rais Gachagua ayapa mataifa ya Afrika changamoto ya kuimarisha biashara Afrika

14/01/24
K24 TV

Naibu rais Rigathi Gachagua amewataka viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika kuiga Kenya katika kuhakikisha hakuna mipaka inayozuia ukuzaji biashara. Akiwa katika hafla ya kuadhimisha miaka 60 ya mapinduzi Zanzibar, Gachagua amesema hatua hiyo itarahisisha biashara kati ya nchi tofauti afrika na kuimarisha maisha ya waafrika.

もっと見せる

 0 コメント sort   並び替え


次に