Berikutnya

Rais Ruto atangaza kuwa serikali itawaongezea marupurupu wawekezaji katika sekta ya uzalishaji

08/04/24
K24 TV
Di Afrika

Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali itawaongezea marupurupu wawekezaji katika sekta ya uzalishaji wa bidhaa ili kukuza sekta hiyo hadi asilimia 20 ya pato la nchi. Ruto alikuwa akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa kiwanda cha saruji cha kampuni ya cemtech limited katika kaunti ya Pokot Magharibi, ambapo alisema kuwa serikali haitaruhusu kuondolewa kwa ushuru unaotozwa bidhaa zinazoletwa kutoka nje na zinazoweza kutengenezwa nchini. Aidha Ruto alishikilia kuwa serikali haina fedha za kushughulikia matakwa ya madaktari wanaogoma.

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya