Suivant

Serikali yatoa hakikisho la wakuasaidia walioathirika na mafuriko

27/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Watu 6 zaidi wamepoteza maisha yao ndani ya saa 24 zilizopita huku zaidi ya makaazi 130,000 yakisombwa na mafuriko kufikia sasa. Msemaji wa serikali isaac mwaura amewaonya wanaoishi karibu na mabwawa na kuwataka wahamie maeneo salama akielezea hatari ya kufurika kwa mabwawa hayo. haya yanajiri huku bunge la taifa likipewa jukumu la kuharakisha kupitisha mswada wa kudhibiti majanga

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant