הבא

Wakaazi wa Kalama waishi kwa hofu kutokana na kujaa kwa bwawa Kwakavwiki.

01/05/24
K24 TV

Kufurika kwa mabwawa sasa ni tishio kwa wakenya wengi wanaoishi katika vijiji mbali mbali. Katika kaunti ya Machakos, wakaazi wa kalama wanaishi kwa hofu kutokana na kujaa kwa bwawa Kwakavwiki. Katika kaunti hiyo hiyo wakazi wa mua na kitanga wamelazimika kukesha nje baada ya nyumba zao kusombwa na maj.

להראות יותר

 0 הערות sort   מיין לפי


הבא