Suivant

Watu wanne wafariki katika maeneo mbali mbali ya nchi kufuatia mvua kubwa

22/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Watu wapatao wanne wamefariki katika maeneo mbali mbali ya nchi kufuatia mvua kubwa iliyosababisha mafuriko. Maelfu zaidi wanakadiria hasara baada ya makazi yao kusombwa na maji. Wanaoishi kando ya mito na njia za maji wameshauriwa wahame mara moja kuzuia maafa zaidi.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant