Jinsi wakazi wa mashinani Bomet wakabiliana na ukosefu wa maji safi
0
0
23/03/24
Trong
Châu phi
Mtoto wa chini ya umri wa miaka 5 hufariki kila dakika ulimwenguni, kutokana na kunywa maji yasiyo salama. hiyo ni kulingana na shirika la afya duniani, WHO. Siku moja baada ya ulimwengu kuadhimisha siku ya maji. Jinsi jamii za mashinani zinavyokabiliana na changamoto za ukosefu wa maji safi na salama ya kunywa.
Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận
sort Sắp xếp theo