Miili ya watu sita waliokufa maji baada ya boti kupinduka katika ziwa Baringo yapatikana
0
0
23/04/24
Miili ya watu sita waliokufa maji baada ya boti kupinduka katika ziwa Baringo hatimaye imepatikana. Sasa idadi ya waliopoteza maisha katika mkasa huo imefika saba. Miili hiyo imepatikana katika ufuo wa kisiwa cha kokwa siku mbili baadaye
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par