Miili ya watu sita waliokufa maji baada ya boti kupinduka katika ziwa Baringo yapatikana
0
0
23/04/24
İçinde
Afrika
Miili ya watu sita waliokufa maji baada ya boti kupinduka katika ziwa Baringo hatimaye imepatikana. Sasa idadi ya waliopoteza maisha katika mkasa huo imefika saba. Miili hiyo imepatikana katika ufuo wa kisiwa cha kokwa siku mbili baadaye
Daha fazla göster
0 Yorumlar
sort Göre sırala