Bir sonraki

Miili ya watu sita waliokufa maji baada ya boti kupinduka katika ziwa Baringo yapatikana

23/04/24
K24 TV
İçinde Afrika

Miili ya watu sita waliokufa maji baada ya boti kupinduka katika ziwa Baringo hatimaye imepatikana. Sasa idadi ya waliopoteza maisha katika mkasa huo imefika saba. Miili hiyo imepatikana katika ufuo wa kisiwa cha kokwa siku mbili baadaye

Daha fazla göster

 0 Yorumlar sort   Göre sırala


Bir sonraki