Следующий

Mtu mmoja apigwa risasi nje ya bunge la Kenya akimnyanganya polisi bunduki yake

26/03/24
K24 TV

Mtu amepigwa risasi katika hali isiyoeleweka nje ya majenga ya bunge hapa jijini Nairobi. Inadaiwa majeruhi aliyepelekwa hospoitali kwa matibabu, alimvamia afisa wa polisi akitaka kumpokonya bunduki. Katika purukushani hiyo polisi huyo aliumizwa na kupelekea huyo mvamizi kupigwa risasi…

Показать больше

 0 Комментарии sort   Сортировать по


Следующий