Hasta la próxima

Rais awahakikishia wakazi atawapa makazi kwa kipindi ambacho nyumba za bei nafuu ziajengwa

24/03/24
K24 TV
En África

Rais William Ruto, sasa ametoa ahadi kwa wakazi wa makadara hapa jijini Nairobi kuwa serikali itawalipia ada ya nyumba au kuwapa makazi mbadala kwa kipindi ambacho nyumba za bei nafuu zitajengwa maeneo ambayo yatabomolewa. haya yanajiri huku kibali cha kujenga ghorofa refu zaidi kikitolewa kuruhusu maeneo kama Eastleigh kuwa na majumba marefu licha ya kuwepo kwa uwanja wa ndege wa jeshi la angani. Aidha onyo kali limetolewa kwa madaktari wa Nairobi wanaoshiriki mgomo kuwa huenda watapoteza nafasi zao za ajira kuanzia hapo kesho.

Mostrar más

 0 Comentarios sort   Ordenar por


Hasta la próxima