Suivant

Rais Ruto azindua rasmi mashindano ya WRC

29/03/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mashindano ya mbio za magari ya mwaka huu yametajwa kuwa ni zawadi maalum ya sikukuu ya pasaka kwa mamilioni ya familia kuungana katika mashindano hayo ya kusisimua. Akiongea kabla ya kuzindua mashindano hayo katika uga wa KICC, Ruto amesema kenya imefanya matayarisho ya kiwango cha kimataifa ili kutoa viwanja vya mbio za kiwango cha juu na kufanikisha mashindano hayo maarufu duniani.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant