Up next

Wauzaji wa mnazi Kilifi walalamika kunyanyaswa na polisi wakisema pombe hiyo haina madhara

28/03/24
K24 TV
In Africa / Kenya

Serikali ilitangaza vita dhidi ya pombe haramu na mihadarati nchini na kuanzisha upya operesheni katika maeneo tofauti ,jambo iliyosababisha kufungwa kwa maeneo mengi yaliyoendesha biashara ya uuzaji wa pombe haramu. Operesheni hiyo haijawasaza wanaouza pombe ya mnazi katka kaunti za pwani.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next