Suivant

Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhan

06/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Waumini wa dini ya kiislamu walimiminika misikitini maeneo mbali mbali nchini kwa sala ya ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Viongozi wa dini wamewataka waislamu kuendeleza ibada kikamilifu wanapokaribia mwisho wa mfungo huu.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant