Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhan
0
0
06/04/24
İçinde
Afrika
Waumini wa dini ya kiislamu walimiminika misikitini maeneo mbali mbali nchini kwa sala ya ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Viongozi wa dini wamewataka waislamu kuendeleza ibada kikamilifu wanapokaribia mwisho wa mfungo huu.
Daha fazla göster
0 Yorumlar
sort Göre sırala