Suivant

Kenya yajiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji

23/03/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Kenya imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji, ambayo hufanyika kila mwaka. Hilo linafanyika huku ripoti ya mamlaka ya kukabiliana na majanga ikionyesha kuwa zaidi ya wakenya milioni 2 kutoka maeneo kame hawana maji wala vyakula vya kutosha

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant