Kenya yajiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji
0
0
23/03/24
Kenya imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji, ambayo hufanyika kila mwaka. Hilo linafanyika huku ripoti ya mamlaka ya kukabiliana na majanga ikionyesha kuwa zaidi ya wakenya milioni 2 kutoka maeneo kame hawana maji wala vyakula vya kutosha
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par