Hasta la próxima

Kenya yajiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji

23/03/24
K24 TV
En África

Kenya imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji, ambayo hufanyika kila mwaka. Hilo linafanyika huku ripoti ya mamlaka ya kukabiliana na majanga ikionyesha kuwa zaidi ya wakenya milioni 2 kutoka maeneo kame hawana maji wala vyakula vya kutosha

Mostrar más

 0 Comentarios sort   Ordenar por


Hasta la próxima