Kenya yajiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji
0
0
23/03/24
U
Afrika
Kenya imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji, ambayo hufanyika kila mwaka. Hilo linafanyika huku ripoti ya mamlaka ya kukabiliana na majanga ikionyesha kuwa zaidi ya wakenya milioni 2 kutoka maeneo kame hawana maji wala vyakula vya kutosha
Prikaži više
0 Komentari
sort Poredaj po