Berikutnya

Kenya yajiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji

23/03/24
K24 TV
Di Afrika

Kenya imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji, ambayo hufanyika kila mwaka. Hilo linafanyika huku ripoti ya mamlaka ya kukabiliana na majanga ikionyesha kuwa zaidi ya wakenya milioni 2 kutoka maeneo kame hawana maji wala vyakula vya kutosha

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya