Suivant

Mahakama kuu yapinga ombi la kusitisha utekelezwaji wa sheria ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu

22/03/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mahakama kuu imepinga ombi la kusitisha utekelezwaji wa sheria ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu iliyotiwa saini juzi Jumanne na rais William Ruto. Hayo yamejiri huku jaji mkuu martha koome akiweka wazi kuwa hakuna makubaliano yoyote yaliyoafikiwa baina ya idara ya mahakama na serikali ya kitaifa kuhusu masuala ya nyumba za bei nafuu.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant