Suivant

Majadiliano kati ya madaktari na wizara ya afya

23/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wakenya haswa wagonjwa katika hospitali za umma wataendelea kutaabika zaidi kufuatia majadiliano kati ya madaktari na wizara ya afya kutofua dafu kikamilifu. Huku mgomo wa madaktari ukiingia siku ya arubaini hii leo muungano wa madaktari KMPDU umeeleza masuala ibuka ambayo yamelemaza vikao hivi ambavyo havijapata muafaka.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant