Suivant

Hospitali za umma zakabiliwa na changamoto ya kuwahudumia wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari

25/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Hospitali za umma zinakabiliwa na changamoto ya kuwahudumia wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari na hivyo wakenya wengi wamesalia bila ya matibabu muhimu kutokana na ukosefu wa fedha za kutafuta huduma hizo katika hospitali binafsi, na huku taifa likikabiliana na mzozo ulioko kati yake na madaktari, mahangaiko ya wananchi yanaashiria haja ya hatua za dharura kuchukuliwa haraka ili kuokoa sekta ya afya iliyo taabani.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant