Suivant

Maoni kuhusu mswada wa sukari

17/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wakulima wa miwa katika kaunti ya Kericho wamewaomba maseneta kukataa baadhi ya mapendekezo yaliyomo katika mswada wa sukari wa 2022, ambao uko tayari kujadiliwa katika bunge la seneti. Wakizungumza baada ya kutia saini mkataba wa bunge la seneti, wakulima wa kipsitet eneo bunge la Soin/sigowet, walilalamika kuhusu ugawaji wa kanda mbalimbali za ukuzaji miwa, bei na uongozi wa bodi ya sukari nchini.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant