Suivant

Hisia mseto kuhusu matumizi ya mifuko ya plastiki

23/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Marufuku iliyowekwa na mamlaka ya usimamizi wa mazingira nchini NEMA dhidi ya matumizi ya mifuko ya plastiki katika ukusanyaji taka inazidi kuibua hisia mseto miongoni mwa wananchi. Hivi punde , baadhi ya wanamazingira na wanasiasa wamesema huenda mpango huo ukawagharimu pakubwa wakenya kutokana na ukosefu wa mipangilio ya kufanikisha mbinu mbadala zinazopendekezwa na NEMA

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant