Mswada wa Seneta Cherargei wazua hisia mseto

23/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Mswada wa kuongeza miaka ya rais, wabunge, magavana na wawakilishi wadi kutoka ya sasa mitano hadi saba umewasilishwa katika bunge la seneti. Vilevile mswada huo uliowasilishwa na seneta wa nandi Samson Cherarkei umepania kubuni ofisi ya waziri mkuu sawia na ripoti ya kamati ya mazungumzo ya Bomas. Jaribio la muhula wa kuhudumu kijiri kwa mara nyingine ikiibua maswali kuwa ni nani anayeleta msukumo huo.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par