Suivant

Ripoti ya CAG Yabaini Magonjwa ya Akili Hayapimwi Ipasavyo Tanzania, yawasilishwa kwa Rais Samia...

28/03/24
CLOUDSMEDIA
Dans Afrique / Tanzanie

Ripoti ya CAG ambayo amekabidhiwa Rais wa JAMHURI YA muungano wa Watanzania Samia Suluhu Hassan Machi 28/3/2024, pamoja na kubainishwa kwa mambo kadha wa kadha moja wapo ni hili lililoshika kasi nchini magonjwa ya afya ya akili. Ambapo kwa mujibu wa Ripoti magomjwa hayo hayapimwi ipasavyo, zaidi, ameshauri namna ya kukabiliana na jambo hilo.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant