Up next

Siku ya kwanza ya uchaguzi wa mashinani wa chama cha UDA

27/04/24
K24 TV
In Africa / Kenya

Kila kitu si shwari katika siku ya kwanza ya uchaguzi wa mashinani wa chama cha UDA. Baadhi ya maeneo kulishuhudiwa vituo kuchelewa kufunguliwa,kucheleweshwa kwa vifaa vya kupiga kura na hata kukosekana kwa majina ya wawaniaji na wapiga kura kwenye sajili ya chama.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next