Berikutnya

Siku ya kwanza ya uchaguzi wa mashinani wa chama cha UDA

27/04/24
K24 TV
Di Afrika

Kila kitu si shwari katika siku ya kwanza ya uchaguzi wa mashinani wa chama cha UDA. Baadhi ya maeneo kulishuhudiwa vituo kuchelewa kufunguliwa,kucheleweshwa kwa vifaa vya kupiga kura na hata kukosekana kwa majina ya wawaniaji na wapiga kura kwenye sajili ya chama.

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya