Suivant

Tume ya EACC yatoa ripoti yake ya uchunguzi

27/03/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Wizara ya usalama wa ndani inaongoza kwa ufisadi hapa nchini ikifuatiwa kwa ukaribu na ile ya afya pamoja na ya uchukuzi. Hii ni kulingana na ripoti ya utafiti iliyozinduliwa leo na tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini , EACC. Aidha mamlaka ya usalama barabarani NTSA na idara ya polisi zinapokea mgao mkubwa wa fedha zinazotokana na ufisadi huku idara ya uhamiaji inayohusika na utoaji pasi za kusafiria ikiongoza miongoni mwa huduma ambazo ni lazima mkenya atoe hongo.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant