اگلا

Wataalamu serikali iondoe mapendekezo ya kutoza ushuru wa kumiliki magari

17/05/24
K24 TV
میں افریقہ

Wataalamu wa uchumi na ushuru wanapendekeza serikali iondoe mapendekezo ya kutoza ushuru wa kumiliki magari na ushuru wa fedha zinazotumwa kutumia benki na mpesa katika mswada wa fedha wa 2024 kwa misingi kuwa kutapelekea kupungua kwa ushuru unaokusanywa katika sekta hizo. pia wanaiomba serikali izingatie maoni yao kinyume na mwaka jana ambapo wanahisi sauti zao hazikuskizwa.

مزید دکھائیں

 0 تبصرے sort   ترتیب دیں


اگلا