Berikutnya

Hospitali za umma zakabiliwa na changamoto ya kuwahudumia wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari

25/04/24
K24 TV
Di Afrika

Hospitali za umma zinakabiliwa na changamoto ya kuwahudumia wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari na hivyo wakenya wengi wamesalia bila ya matibabu muhimu kutokana na ukosefu wa fedha za kutafuta huduma hizo katika hospitali binafsi, na huku taifa likikabiliana na mzozo ulioko kati yake na madaktari, mahangaiko ya wananchi yanaashiria haja ya hatua za dharura kuchukuliwa haraka ili kuokoa sekta ya afya iliyo taabani.

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya