下一个

Hospitali za umma zakabiliwa na changamoto ya kuwahudumia wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari

25/04/24
K24 TV
非洲

Hospitali za umma zinakabiliwa na changamoto ya kuwahudumia wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari na hivyo wakenya wengi wamesalia bila ya matibabu muhimu kutokana na ukosefu wa fedha za kutafuta huduma hizo katika hospitali binafsi, na huku taifa likikabiliana na mzozo ulioko kati yake na madaktari, mahangaiko ya wananchi yanaashiria haja ya hatua za dharura kuchukuliwa haraka ili kuokoa sekta ya afya iliyo taabani.

显示更多

 0 注释 sort   排序方式


下一个