下一个

Huduma za afya huenda zikatatizwa kufuatia madaktari kutoa ilani ya siku ya saba ya kuanza mgomo

06/03/24
K24 TV
非洲

Huduma za afya nchini huenda zikatatizwa wiki ijayo kufuatia madaktari kutoa ilani ya siku ya saba ya kuanza mgomo wa kitaifa wa kulalamikia ahadi hewa za serikali. Madaktari wanataka kandarasi za utendakazi zisawazishwe na pia madaktari wanagenzi waajiriwe

显示更多

 0 注释 sort   排序方式


下一个