Hasta la próxima

Huduma za afya huenda zikatatizwa kufuatia madaktari kutoa ilani ya siku ya saba ya kuanza mgomo

06/03/24
K24 TV
En África

Huduma za afya nchini huenda zikatatizwa wiki ijayo kufuatia madaktari kutoa ilani ya siku ya saba ya kuanza mgomo wa kitaifa wa kulalamikia ahadi hewa za serikali. Madaktari wanataka kandarasi za utendakazi zisawazishwe na pia madaktari wanagenzi waajiriwe

Mostrar más

 0 Comentarios sort   Ordenar por


Hasta la próxima