Susunod

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mkuu wa majeshi afariki akiwa mamlakani

21/04/24
K24 TV
Sa Africa

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mkuu wa majeshi amefariki akiwa mamlakani . Marehemu Jenerali Francis Ogolla, aliyesifiwa kama mtu mkarimu na mwanajeshi mwenye tajika alizikwa chini ya saa 72 baada ya kufariki katika ajali ya ndege. Mazishi ya mwendazake yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali

Magpakita ng higit pa

 0 Mga komento sort   Pagbukud-bukurin Ayon


Susunod