Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mkuu wa majeshi afariki akiwa mamlakani
0
0
21/04/24
Trong
Châu phi
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mkuu wa majeshi amefariki akiwa mamlakani . Marehemu Jenerali Francis Ogolla, aliyesifiwa kama mtu mkarimu na mwanajeshi mwenye tajika alizikwa chini ya saa 72 baada ya kufariki katika ajali ya ndege. Mazishi ya mwendazake yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali
Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận
sort Sắp xếp theo