Næste

Wavuvi kaunti ya Mombasa watapata afueni baada ya serikali ya kaunti kutenga shilingi milioni 100

12/03/24
K24 TV
I Afrika

Wavuvi katika kaunti ya mombasa sasa watapata afueni baada ya serikali ya kaunti kutenga shilingi milioni 100 zitakazosaidia kuimarisha sekta hiyo. Gavana wa Mombasa ameahidi kuwa fedha hizo zitatumika kushughulikia baadhi ya malalamishi ya wavuvi

Vis mere

 0 Kommentarer sort   Sorter efter


Næste