Volgende

Wavuvi kaunti ya Mombasa watapata afueni baada ya serikali ya kaunti kutenga shilingi milioni 100

12/03/24
K24 TV
In Afrika

Wavuvi katika kaunti ya mombasa sasa watapata afueni baada ya serikali ya kaunti kutenga shilingi milioni 100 zitakazosaidia kuimarisha sekta hiyo. Gavana wa Mombasa ameahidi kuwa fedha hizo zitatumika kushughulikia baadhi ya malalamishi ya wavuvi

Laat meer zien

 0 Comments sort   Sorteer op


Volgende