Susunod

Wazazi na wanafunzi walalamika kuhusu tangazo la kuchelewa

29/04/24
K24 TV
Sa Africa

Kufuatia agizo la serikali kusongesha mbele kwa wiki moja siku ya kufunguliwa kwa muhula wa pili kwa wanafunzi kufuatia mvua nyingi inayoshuhudiwa kote nchini hisia mbalimbali zinazidi kutolewa msemaji wa serikali Isaac Mwaura amewataka walimu kutowarejesha nyumbani wanafunzi ambao tayari walikuwa wamefika shuleni. Baadhi ya wazazi na walimu tuliozungumza nao hata hivyo wameilaumu serikali kwa kutotoa tangazo hilo mapema haswa baada ya wanafunzi wengi kuwa tayari wamefika shule

Magpakita ng higit pa

 0 Mga komento sort   Pagbukud-bukurin Ayon


Susunod