التالي

Waziri wa afya Susan Nakhumicha, akabiliwa na tishio la kupoteza kazi

04/04/24
K24 TV

Wakati huohuo ,waziri wa afya Susan Nakhumicha, anakabiliwa na tishio la kupoteza kazi endapo hoja ya kutokuwa na imani naye itapitishwa bungeni. Hoja hiyo ya mbunge wa Embakasi mashariki , Babu Owino imetokana na mgomo wa madaktari kuendelea kwa wiki ya tatu sasa bila ya suluhu kupatikana

أظهر المزيد

 0 تعليقات sort   ترتيب حسب


التالي