Up next

Waziri wa afya Susan Nakhumicha, akabiliwa na tishio la kupoteza kazi

04/04/24
K24 TV
In Africa / Kenya

Wakati huohuo ,waziri wa afya Susan Nakhumicha, anakabiliwa na tishio la kupoteza kazi endapo hoja ya kutokuwa na imani naye itapitishwa bungeni. Hoja hiyo ya mbunge wa Embakasi mashariki , Babu Owino imetokana na mgomo wa madaktari kuendelea kwa wiki ya tatu sasa bila ya suluhu kupatikana

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next