Waziri wa afya Susan Nakhumicha, akabiliwa na tishio la kupoteza kazi
0
0
04/04/24
Wakati huohuo ,waziri wa afya Susan Nakhumicha, anakabiliwa na tishio la kupoteza kazi endapo hoja ya kutokuwa na imani naye itapitishwa bungeni. Hoja hiyo ya mbunge wa Embakasi mashariki , Babu Owino imetokana na mgomo wa madaktari kuendelea kwa wiki ya tatu sasa bila ya suluhu kupatikana
Show more
0 Comments
sort Sort By