Berikutnya

Hisia mseto kuhusu matumizi ya mifuko ya plastiki

23/04/24
K24 TV
Di Afrika

Marufuku iliyowekwa na mamlaka ya usimamizi wa mazingira nchini NEMA dhidi ya matumizi ya mifuko ya plastiki katika ukusanyaji taka inazidi kuibua hisia mseto miongoni mwa wananchi. Hivi punde , baadhi ya wanamazingira na wanasiasa wamesema huenda mpango huo ukawagharimu pakubwa wakenya kutokana na ukosefu wa mipangilio ya kufanikisha mbinu mbadala zinazopendekezwa na NEMA

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya