Hasta la próxima

MBELE YA RAIS SAMIA, WAZIRI NAPE ALIVYOFICHUA MAMBO MAWILI KUHUSU TANZANIA NA MITANDAO AFRIKA

04/04/24
CLOUDSMEDIA
En África

Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia, akifichua siri kuhusiana na Tanzania na mitandao ambapo amesema kuwa Tanzania ni ya pili kwa usalama barani afrika, Zaidi, amesema ni nchi ya wastaarabu.

Mostrar más

 0 Comentarios sort   Ordenar por


Hasta la próxima