Suivant

Serikali yaahidi kuchunguza mkasa wa ndege

21/04/24
K24 TV
Dans Afrique / Kenya

Rais William Ruto,ameahidi wakenya kuwa hakuna mauaji ya kiholela yatakazolenga kiongozi yeyote katika utawala wake rais amewahakikishia wote wenye maswali na shauku kuhusu ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha Francis Ogolla kuwa uchunguzi wa kina utafanywa kubaini ukweli wa mambo

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant