Serikali yaahidi kuchunguza mkasa wa ndege
0
0
21/04/24
में
अफ़्रीका
Rais William Ruto,ameahidi wakenya kuwa hakuna mauaji ya kiholela yatakazolenga kiongozi yeyote katika utawala wake rais amewahakikishia wote wenye maswali na shauku kuhusu ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha Francis Ogolla kuwa uchunguzi wa kina utafanywa kubaini ukweli wa mambo
और दिखाओ
0 टिप्पणियाँ
sort इसके अनुसार क्रमबद्ध करें